Chaguo bora Book Now Nauli zetu. Luxury Coach TZS 95,000 Route 1: Dar es salaam Mwanza Route 2: Mwanza Dar es salaam Semi-Luxury Coach TZS 78,000 Route 1: Dar es salaam Mwanza Route 2: Mwanza Dar es salaam Chaguo bora la wasafiri Tuna huduma mbalimbali ikiwepo Semi luxury na Luxury na zifuatazo ni huduma zake. HUDUMA ZA SEMI LUXURY Safiri kwa faraja na huduma bora kupitia mabasi ya semi-luxury. Tunatoa usafiri wa hali ya juu kwa bei nafuu na usalama wa uhakika! Inabeba abiria 54 Haina Azam Tv Unachagua maji au soda Hakuna chai asubuhi Huduma ya Wi-fi ipo Huduma ya choo haipo HUDUMA ZA LUXURY Safiri kwa starehe na huduma bora kwa mabasi ya luxury. Tunakuhakikishia usafiri wa kiwango cha juu, salama, na wa kuridhisha! Inabeba abiria 49 Uwepo wa Azam Tv Unapewa maji na soda Kuna uwepo wa chai asubuhi Huduma ya Wi-fi ipo Huduma ya choo ipo NUNUA TIKETI YAKO KUPITIA WHATSAPP Scan QR Code na camera yako kuweza kupata huduma. Morogoro Dodoma Singida Dar es salaam Mwanza Shinyanga Huduma kwa wateja Management +255 766 808 688 Mwanza +255 695 880 224 Shekilango +255 743 729 988 Mbezi Magufuli +255 742 888 942 Wateja wetu wanasemaje Moe' Maran 2024-09-15 Such a beautiful bus, very smart & organised Rashidi Ally 2024-08-29 Davis Ndibalema 2024-08-19 mussa mashaka 2024-07-16 Eliudi Urasa 2024-07-14 Isaac Sultan 2024-07-13 Stephano Kuoko 2024-07-01 Soo nice and more comfotable saga b 2024-05-24 Mula Mohamed 2024-05-11 FATMA MWANGA 2024-05-11